Description
Kitabu hiki ni majibu ya kitabu cha Wahhabi, al-Khututul Aridhwa (kwa lugha ya Kiarabu) cha Muhibbudin al-Khatib (mwaka wa 1930) na kufanyiwa tarjuma ya Kiswahili kwa jina la “Misingi Mikubwa lliyojengwa Dini ya Ushia” na taasisi ya Kianswari (Wahhabi) ya Mombasa Kenya katika mwaka wa 1988.
Reviews
There are no reviews yet.